Wanawake, Haya Hapa Mambo 6 Yatakayomfanya Mumeo Akupende Zaidi. - KING OF LOVE

RUN YOUR BUSNESS ALL OVER THE WORLD

PATA PAMBA KALI NA UTUPIE KIJANJA NA PAMBA YENYE LOG KALI YA AIKATAI KWA BEI POUWAA

Thursday, December 7, 2017

Wanawake, Haya Hapa Mambo 6 Yatakayomfanya Mumeo Akupende Zaidi.


1. Muamini mmeo au mchumba wako.

2. Usikatishe tamaa katika maono yake.

3. Usimlazimishe kupenda mambo unayoyapenda.

4. Usipange kumbadilisha.

5. Usidhani kwamba hawezi kutambua uwepo na uzuri wa wanawake wengine.

6. Usilazimishe kuwajibika juu ya mambo yako: Kama vile kwenda saluni, umeme, vocha na mambo mengine hasa kama bado mko katika mchakato wa uchumba, kama atafanya hivyo mwache afanye mwenyewe msimlazimishe eti kwa sababu shosti wako huwa anafanyiwa hivyo na wewe unataka, ladies huo ni utoto.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot